Ankaliii
Namtakia kila la kheri kwenye majukumu yake akiwa na rais mpya ambaye alikuwa na hamu ya kumkung'uta.
Nadhani sasa anatamani aombe kustaafu kabla ya muda wake.
Akifikishwa mahali anazitoa kirahisi sana hizo, hutaaminiBora niwe kama kabichiView attachment 1902176


Nikamuuliza,shogaangu xokxi ni nini hiki, si wajua nilivyo mshamba,

Sifa tu,kusemaje sasa hata mbuzi anayo au kuchoreshana tuAkifikishwa mahali anazitoa kirahisi sana hizo, hutaamini![]()

Bora usafi uwe unazingatiwa, hakuna cha fonga wala nini. Diving kama diving, Uvinza.Ee babaake kashaangukiwa na fonga huko![]()
Aaaaaaah waaaaaaapiBora usafi uwe unazingatiwa, hakuna cha fonga wala nini. Diving kama diving, Uvinza.