Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,209
- 40,647
Hawa jamaa kuna sehemu nilipita walikuwa wanalima, hatari sana watu wa2 tu kilo 2 wanapiga ugali
Hawa jamaa kuna sehemu nilipita walikuwa wanalima, hatari sana watu wa2 tu kilo 2 wanapiga ugali
Usipokuwa makini na kuchunguza hivi vitabu, unaweza kuta unampoteza mwanao kwenye ramani ya edukesheni
Unaweza kudhani mwanao yupo shule anaelimika kumbe anajaza madesa ya uongo kichwani, ni vyema wazazi tukae na watoto siku moja moja kupima uelewa wao tusiwe tunatupa pesa bure bila kufuatiliaUsipokuwa makini na kuchunguza hivi vitabu, unaweza kuta unampoteza mwanao kwenye ramani ya edukesheni

Unajisifu mtaani Mwanangu yupo intaneshno kumbe analishwa matango poriUnaweza kudhani mwanao yupo shule anaelimika kumbe anajaza madesa ya uongo kichwani, ni vyema wazazi tukae na watoto siku moja moja kupima uelewa wao tusiwe tunatupa pesa bure bila kufuatiliaView attachment 1901182
Leo nikepata somo. Nikimpata mdada wa kazi bomba,anayejielewa,hatomaliza wiki kwa boss wake kuanzia leo!!
Kabisa mkuu, unakuta katoto kanapelekwa chekechea huko za gharama kanasoma mpaka kanamaliza lakini bado kuhesabu hakajui, chenyewe ni kunywa uji tu na pilauUnajisifu mtaani Mwanangu yupo intaneshno kumbe analishwa matango pori


Leo nimepata somo. Nikimpata mdada wa kazi bomba,anayejielewa,hatomaliza wiki kwa boss wake kuanzia leo!!
Sent using Jamii Forums mobile app



Hapo ndo ukute ushalipa ada ya mwaka mzima...mbon mtapelelana kwa mjumbeUnaweza kudhani mwanao yupo shule anaelimika kumbe anajaza madesa ya uongo kichwani, ni vyema wazazi tukae na watoto siku moja moja kupima uelewa wao tusiwe tunatupa pesa bure bila kufuatiliaView attachment 1901182
Babu yangu lazima ajue banaBabu ataweka kauzibe, hilo darsa asijulishwe kabisa.
![]()

WajuuUnyayo wa katikati?

Roho mbaya tuHata hiyo boda ni wema tu,anaulizwa tu"njia si utaikumbuka?",anatoka,nafunga mlango.
Sent using Jamii Forums mobile app

Wanaenda hapo, huoni jamaa ameweka mkono mfukoni, anazuia kichwa kinataka kumletea aibu![]()






Hawa wanaenda......Leteni jibu.View attachment 1900879



