Vituko mitandaoni. Tupia chako

Acha wale tu kwa kweli. Kwani wanaondoka nayo?

View attachment 1894900
#KuchapiwaHakuepukiki
#Kuchapiwanisiriyandani
#KitandaHakizaiHaramu
Siyo mapenzi,K ndo haina makombo. Unakuta jitu limepigwa huko mpaka imekua lapulapu lakini kuna fala linakujapiga goti"will you marry me!!",shenzi type.
 
Nata vocha hutumi,

Kama ni mie utakimbia mwenyewe
,vocha yang u,Sim u yangu kwa jasho langu, Hi yo nakujibu nikijisikia au nisikujibu kabisa

Wewe ni mchaga???View attachment 1894908
Sina damu ya kichaga hata tone.
Ukinijibu hovyo,kwenda. Kwani mwanamke ni wewe tu?
Mafala ndo wanauliza kwanini hujibu text,sijui kwanini hupokei,na ujinga mwingine mwingi.
Ma hip hop ni call 1 tu,hajapokea imetoka hiyo.
 
Nata vocha hutumi,

Kama ni mie utakimbia mwenyewe
,vocha yang u,Sim u yangu kwa jasho langu, Hi yo nakujibu nikijisikia au nisikujibu kabisa

Wewe ni mchaga???View attachment 1894908
Sasa nimtumie mtu vocha ya nini?
Aongee na nani kama mimi nampigia?
Na kama simu ni yake alinunua ni ihudumie mie.

Apambane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…