Oh no!
That was horrible kwa sababu hata ukisema ujitapishe ni kazi bure.
Tuliosoma boarding enzi zile hakuna ambacho hatukula. Maharage, unga na dagaa waliooza funza wanaelea kabisa mnawaona. Panya wanaotumbukia kwenye uji. Wapishi wanaosonga ugali mijasho na kamasi vinadondokea humo humo kwenye ugali...we survived it all and here we are 76 yrs and counting