Mimi hata tuishi Nchi tofauti siwezi nina kinyaaa yaani naona kabisa hii mali yangu jana ilikuwa sehemu fulani au leo mwenzangu yupo kifuani huko aiseee siwezi😬😬Mie hapana
Yaani sikatai ukewenza,lakini tuishi wilaya tofauti
Ninaweza nikawa mie ni mstaarabu,lakini mwenzangu ukawa moto wa kifuu
😄😄tuwaachie wenyewe kuta NNE za chumba ndizo zijuazo.Hee kumbe wameachana tayr hata hivyo penz lao lilikuwa lina tafakari nying sana 🤣huwa nawaza polepole inakuwaje
Yanga wametia fora-Leo ndio mwisho wa usajili kwa timu ambazo zitashiriki mashindano ya kimataifa CAF Champion League na CAF Confederation Cup. mpaka sasa hawa ndio wachezaji wa kimataifa waliomalizana na timu za Simba, Yanga na Azam kwa ajili ya msimu 2021/22.
SIMBA
1-Joash Onyango (Kenya)
2-Pascal Wawa (Ivory Coast)
3-Inonga Baka Varane (DR Congo)
4-Taddeo Lwanga (Uganda)
5-Rally Bwalya (Zambia)
6-Sadio Kanoute (Mali)
7-Pape Ousmane Sakho (Senegal)
8-Peter Banda (Malawi)
9-Dancin Nyoni (Malawi)
10-Benard Morisson (Ghana)
11-Meddie Kagere (Rwanda)
12-Chris Mugalu (DR Congo)
YANGA
1-Djigui Diarra (Mali)
2-Djuma Shaban (DR Congo)
3-Yannick Bangala (DR Congo)
4-Khalid Aucho (Uganda)
5-Mukoko Tonombe (DR Congo)
6-Jesus Moloko (DR Congo)
7-Yacouba Songne (Burkina Faso)
8-Saido Ntibazonkiza (Burundi)
9-Heritier Makambo (DR Congo)
10-Fiston Mayele (DR Congo)
AZAM
1-Mathias Kingonya (Uganda)
2-Nico Wadada (Uganda)
3-Bruce Kangwa (Zimbabwe)
4-Daniel Amoah (Ghana)
5-Paul Katema (Zambia)
6-Charles Zulu (Zambia)
7-Never Tegere (Zimbabwe)
8-Keneth Muguna (Kenya)
9-Rodgers Kola (Zambia)
10-Prince Dube (Zimbabwe)
11-Idris Mbombo (DR Congo
Tusilaumiane......
Huwa nawawaza hawa ule mchezo wanafanyajena jamaa alivyo kama mtoto
Mchezo gani?
Nimeusahau
Ushahidi wa Mungu
Wanasema ukiweka mzigo wa maana mezani kila kitu kinawezekanaView attachment 1893588
Moyo wa chuma sio huu wa nyama
Na kwanini uolewe mke mwenza ilhali mimi hapa u single unanitesa?Mie hapana
Yaani sikatai ukewenza,lakini tuishi wilaya tofauti
Ninaweza nikawa mie ni mstaarabu,lakini mwenzangu ukawa moto wa kifuu
Upande wa wako ipo hivyo, ila watu hawafananiNakukumbusha pesa hainunui furaha.
Siyo mwanamke yeyote, ila walio wengi.Ok wewe unadhani ukiwa na pesa Mwanamke yoyote anaweza kubali uke wenza
Ile ulinitumia picha, ile ilikuwa inajiita Violeth! Ile bado sijaipatia muda!Hapana kaka. Hebu nikumbushe.
Papa akibusu miguu ya viongozi waliokuwa wanapingana huko Sudan Kusini na kuwasihi sana wafikie maafikiano ili kuepusha vifo na mateso hasa ya wanawake na watoto wadogo. Waliporudi nyumbani ziliendelea kupigwa japo baadaye maafikiano yalifikiwa mapigano yakapumzika. Na walipohojiwa walisema nafsi zilikuwa zinawasuta hasa wakifikiria jinsi Papa alivyojinyenyekeza na kuwabusu miguu yao kama ishara ya kuwaombea wao na watu wao.Chynjo hiii veeepe!View attachment 1893660
Mimi hata tuishi Nchi tofauti siwezi nina kinyaaa yaani naona kabisa hii mali yangu jana ilikuwa sehemu fulani au leo mwenzangu yupo kifuani huko aiseee siwezi