Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,381
Kuna kanisa linaruhusu michepuko? Basi hakuna haja ya kuwa na amri ya sita na ile ya kutamani mke wa mwenzio.
DaahHii ndo inawakilisha ule msemo.
“Ukiona nyani mzee, jua kakwepa mishale mingi”
