Qwy naona ni kama vile ameshajiandaa kwa ban tayari [emoji16][emoji16][emoji16]. Ila ingependeza kama angezipeleka hizi kwenye lile jukwaa la warembo pengine ingependeza zaidi [emoji1734][emoji1734]Huyu Qwy leo ameamua.......naona dalili za kupigwa ban muda si mrefu.......ila umelichangamsha jamvi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shoo mbovu hatari!
Kuhusu tozo mmeambiwa kama hamridhiki basi hamieni Burundi [emoji16][emoji16]Vululu vululuView attachment 1861428
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutahama nchi hii, khaaaKuhusu tozo mmeambiwa kama hamridhiki basi hamieni Burundi [emoji16][emoji16]
View attachment 1861509
Ila haya mambo bana[emoji28]
Huyu dogo ana kiburi hatari. Eti naye ana ndoto ya kuja kuwa rais wa nchi hii. Nitafurahi sana kama mama atamtema...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutahama nchi hii, khaaa
Vipi huko uliko Valentina. Hali ni shwari kutokana na heka heka la Neema? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870]Ila haya mambo bana[emoji28]
Huku mambo ni yente tushamsahau Neema [emoji28]Vipi huko uliko Valentina. Hali ni shwari kutokana na heka heka la Neema? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870]
Hiyo ndiyo siku ya kufa nyaniHahaaa nimechekaa sanaa cm inajiandika kuzini
Daktari wa uchumiHuyu dogo ana kiburi hatari. Eti naye ana ndoto ya kuja kuwa rais wa nchi hii. Nitafurahi sana kama mama atamtema...
View attachment 1861539
Vipi mkuu unayaonaje?Ila haya mambo bana[emoji28]