Qwy naona ni kama vile ameshajiandaa kwa ban tayariHuyu Qwy leo ameamua.......naona dalili za kupigwa ban muda si mrefu.......ila umelichangamsha jamvi![]()


. Ila ingependeza kama angezipeleka hizi kwenye lile jukwaa la warembo pengine ingependeza zaidi 

Shoo mbovu hatari!



Tutahama nchi hii, khaaaIla haya mambo bana

Huyu dogo ana kiburi hatari. Eti naye ana ndoto ya kuja kuwa rais wa nchi hii. Nitafurahi sana kama mama atamtema...Tutahama nchi hii, khaaa
Vipi huko uliko Valentina. Hali ni shwari kutokana na heka heka la Neema?Ila haya mambo bana![]()






Huku mambo ni yente tushamsahau NeemaVipi huko uliko Valentina. Hali ni shwari kutokana na heka heka la Neema?![]()

Hiyo ndiyo siku ya kufa nyaniHahaaa nimechekaa sanaa cm inajiandika kuzini
Daktari wa uchumiHuyu dogo ana kiburi hatari. Eti naye ana ndoto ya kuja kuwa rais wa nchi hii. Nitafurahi sana kama mama atamtema...
View attachment 1861539
Vipi mkuu unayaonaje?Ila haya mambo bana![]()
