Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20210719-101814_WhatsApp.jpg
 
Afadhali kikosi...
sema demu wa Serie A [emoji16][emoji16]
Kila sehemu ukienda lazima utakuta kuna dem ambae kama hujapita hapo wenzako wanakushangaa umefeli wapi, maana ndio kitonga cha mtaa hawezi kukataa kabisa yani hutumii nguvu nyingi kumpata labda uwe mchovu kwelikweli.
Huenda ndio huyo model[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom