Ki sayansi ya siasa kila mtu ni mwanasiasa,kadhalika kwenye michezo. Kuipenda CCM na YANGA ni ishara tosha kuwa unaipenda nchi yako,so kama utaipenda nchi yako,hutoshindwa kunipenda mimi kindakindaki.
Yaani mimi hapo ni direct object,CCM na YANGA ni indirect object.
Sent using
Jamii Forums mobile app