Vituko mitandaoni. Tupia chako

Salute Kiongozi.
Fikiria mathalani, Katiba ile ya Kenya ilipatikana kwa machozi, jasho na damu, halafu kinajitokeza kijitu kinakuja kudharau muhimili wa mahakama kwa kiburi tu.
Baadaye anachukuliwa hatua kuna wananchi waje waandamane!!

Nakuunga mkono.

Wapigwe tu.
Watu wameuana kupata Katiba, halafu mnaitekeleza mnaanza kuuana tena.
Ni ujuha.
 

MARTIN MAYANJA MASESE.

na kunao watu wamemfollow taahira kama huyuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Anataka atapike kisa mafanikio ya mwingineπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

USHAURI WANGU KWAKE.

anywe maji mengi sana kwa sababu badala ya kutolea mapovu mafanikio ya wengine atakua bize tuu kukojoa chooni.

Muda huo atakosa kabisaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Matackle kabisa😈😈
 
Kama Katiba na sheria zao nyingiene zimekaa kwenye mfumo wa kibaguzi basi wazifumue.
Haiwezekani nchi moja iwe na sheria kwa watu tofauti.
Lakini hili ni jambo lingine, kikubwa sheria iliyopo imetekelezwa.
Kuhusu Jaji au hakimu kujiondoa kwenye shauri lako ni jambo la kisheria.

Mathalani kwa sheria za Tanzania mshitakiwa anaruhusiwa kuomba hakimu abadirishwe, lakini huyo hakimu au Jaji ana hiyari, kujiondoa au kutojiondoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…