Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Halafu tunasema uzembe wa marehemu

Hicho kwa ajili ya Dimlight mkuu..yaani hiyo tochi swichi yake ukiisukuma mpaka mwisho inawaka.unairudisha nyuma kidogo sio moaka mwisho then unabonyeza hicho chekundu..ukikiachia inazimaNa hicho kidude chekundu sijui kilikuwa na kazi gani...
View attachment 1823006
Duh!Tena nyingi tu
Mzee kawakaMzee mbona povu!? Inakugusa nini!?
![]()
![]()

Huyo kapotea njia...si unajua njia unapotea wakati wakwenda



Aisee sikuwahi kujua. Asante sana mkuu kwa ufafanuzi safiHicho kwa ajili ya Dimlight mkuu..yaani hiyo tochi swichi yake ukiisukuma mpaka mwisho inawaka.unairudisha nyuma kidogo sio moaka mwisho then unabonyeza hicho chekundu..ukikiachia inazima
Ndo namalizia malizia hivyo. All my legends are getting old and most of them are out of the game. Time to retire too![]()











Karibu iringaView attachment 1842970