Hahaaa
Hua nikiona hizi barua namkumbuka Neema wangu maana aliniandikia barua ya mahaba akaisahau kwenye daftali la hesabu ticha akaiona .......kilicho fuata ni kengele ya msitalini na walimu kunitandika fimbo km mwizi lakini hata leo hii sijui neema wangu yupo wapi so sad