Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,360
Kipindi hicho ghetto langu alikuwa haingii mwanamke, baada ya kupakaziwa nilijiskia aibu sana, wiki iliyofuata nikaingia ghetto na mdada, stori yangu iliacha gumzo. Kumbe nilikuwa najaribiwa kama nafanya kazi.Na kuanzia siku hiyo ukaharibika...yaani ikawa kampa kampa hapa kazi tu kila anayejichanganya lazima umpelekee moto![]()














Kuanzia hapo..... Ikawa ni mwendo wa kuwapelekea moto 



hatari fire....!!
















