Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Na kuanzia siku hiyo ukaharibika...yaani ikawa kampa kampa hapa kazi tu kila anayejichanganya lazima umpelekee moto
Kipindi hicho ghetto langu alikuwa haingii mwanamke, baada ya kupakaziwa nilijiskia aibu sana, wiki iliyofuata nikaingia ghetto na mdada, stori yangu iliacha gumzo. Kumbe nilikuwa najaribiwa kama nafanya kazi.
Kuanzia hapo..... Ikawa ni mwendo wa kuwapelekea moto hatari fire....!!
 
IMG-20210613-WA0168.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom