Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378










Watani zangu Wasukuuma kizazi oooh Sorry 😂😂😂Wasukuma hivi ushamba mtaacha lini kwa hiyo tikiti Dar to kigoma umelishikilia😄Kwa niaba ya Wasukuma wote Nuzulati, wi lavu yu mpendwa![]()
Sasa tuache ushamba ili iweje tena mpendwa? Mtapata wapi mwingine wa kumtania? Mtageukia Wanyakyusa au Wagogo?Watani zangu Wasukuuma kizazi oooh SorryWasukuma hivi ushamba mtaacha lini kwa hiyo tikiti Dar to kigoma umelishikilia
![]()



Ninacho wapendea watani zangu hamjui kukasirika tunapowataniaSasa tuache ushamba ili iweje tena mpendwa? Mtawapa wapi mwingine wa kumtania? Mtageukia Wanyakyusa au Wagogo?
Na afike na tikiti Kigoma, hiyo treni haisimami kwenye vituo? Unatuonea sana mpendwa...[emoji