Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Imekuwaje mkuu?dooh hii picha nimeumbuka kwenye daladala!
Imekuwaje mkuu?dooh hii picha nimeumbuka kwenye daladala!
Kuna mzee alikaa pembeni hapo wakt picha ina-load nilijua huu utakuwa mzigo tu! ile katika timing ni scroll down nikachelewa ikafunguka chap mzee kabak ananiangalia tu safar nzimaImekuwaje mkuu?

Mbinguni mbali sana asee😂
Tutafika tu lakini tutakuwa tumechoka sanaMbinguni mbali sana asee![]()

😂 😂 😂 😂 😂Tutafika tu lakini tutakuwa tumechoka sana![]()
Angekuwa na simu janja si ajabu naye angekuomba umufowadieKuna mzee alikaa pembeni hapo wakt picha ina-load nilijua huu utakuwa mzigo tu! ile katika timing ni scroll down nikachelewa ikafunguka chap mzee kabak ananiangalia tu safar nzima![]()


Vitu vya shimba
Huyu mkorofi. Hicho ni kijeneza kabeba mgongoni?
Endelea kulia
Umesahau hiyo picha ze don!Huyu mkorofi. Hicho ni kijeneza kabeba mgongoni?