Ukiwa na mtu kwenye kuchamba koo halafu akaanza kukuvuta-vuta au anakuwekea mikono begani huku anakuambia "listen brother" kwa sauti ya juu, basi ujue tayar huyo lolote atakalo ongea kuanzia hapo usilitilie maanani


maana sio akili yake tena!It happened daily when I was sleeping with my x