Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,425
- 18,456
Huyo ni mtu mmoja Kala hapo?Uswazini kisingebaki kitu hapa.View attachment 1751936View attachment 1751937
Huyo ni mtu mmoja Kala hapo?Uswazini kisingebaki kitu hapa.View attachment 1751936View attachment 1751937
NgongingoHivi hayo ni majani au mpunga?View attachment 1751909
Ukiwa na chololoo kubwa ndo wadada wanakupenda na kukuheshimuEeeh, wanawake mna shida nyie
Maana kwamba muhogo, hogo la jang'ombe ndo habari yake!!?![]()
Mbona kamenyu kadogo tuu hako.Huyo ni mtu mmoja Kala hapo?
Nipo huku nilitaka nije nikadhani baada ya nyoka kuuma watu wako ulifunga. Next week nasepa mzee anarudi toka kambini kwao Ibrahim alipoenda papa tunaenda kijijini kwenye tambiko.Uko huku au makao?
Mtaka cha uvunguni sharti uinameUjanja wa Wachina. Wanakufanyia vituko ukija kushtuka ushapigwa. Ona wanavyomfanyia huyu mwamba wa Sudan ya Kusini. Kisa mafuta
View attachment 1752037
Aseeee,Ukiwa na chololoo kubwa ndo wadada wanakupenda na kukuheshimu
Wachina wametumwa nini? Hela.
Anasakwa panya hapo
Hahahaha,



Wanataka kuangalia YAI linavyoliwa



Hahahahaha, atakuwa amekudharau sana asee



Kwahiyo yai lilivyoona hogo na lenyewe likaona lionje muhogo au...Funguka basiYule dada na binti ndio tatizo, sio wanawake wote.


