Mie huwa sileti uzungu kwenye kuagiza hata siku moja kwakuwa mie sie mtaalam wa vyakula.Jizazi! Halafu bei yake sasa uwiiii !!!
Siku hizi mimi huwa nauliza kama ni portion ya kushibisha labda kama nikiwa na company![]()


Nimeona mkiaMtachelewa kujua
View attachment 1707332
Mkia na mguuMtachelewa kujua
View attachment 1707332