Ndiyo. Ukiwa na katatizo ka moyo ambako hukajui halafu ukafanya huu utopolo lazima watu waimbe "parapanda italia parapanda...."Watakuja kufa watu![]()
Tume tohoa tu jamani neno linalotumika duniani ni la kigeni kwaiyo tupende kiswahili chetu kuna tatizo la kupumua nchini kwetu na osha mikono,epuka mikusanyiko
Mzee shikamoo tena!, unajua hatujaonana tangu ile asubuhiMarahabaaaaaaa kijana. Endelea na salamu hii usiiwache. Naipenda sana!

Marahaba aisee. Pole na majukumu. Nasubiria hapa memes za kufa mtu. Kufurahi na kucheka kunaimarisha kinga ya mwili; na kwa hali ya sasa hili ni jambo la muhimu sana. Tusichoke kucheka na kufurahi kwa sababu hatujui yajayoMzee shikamoo tena!, unajua hatujaonana tangu ile asubuhi![]()










Hali ilivyo sasa ukinuna utapata vidonda vya tumbo!Marahaba aisee. Pole na majukumu. Nasubiria hapa memes za kufa mtu. Kufurahi na kucheka kunaimarisha kinga ya mwili; na kwa hali ya sasa hili ni jambo la muhimu sana. Tusichoke kucheka na kufurahi kwa sababu hatujui yajayo![]()