Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,207
- 15,880


akikata moto lawama zote kwake ndugu watasema alimchuria mgonjwa afe.


akikata moto lawama zote kwake ndugu watasema alimchuria mgonjwa afe.akikata moto lawama zote kwake ndugu watasema alimchuria mgonjwa afe.



Always tafuta njia ya kuchomoka!!!
Niko naye hapa dododma-kisasa kwa mnama tunapata nyama choma, leta hizo pongezi zako binafsi kwangu nitaziwasilisha kwa niaba ya wana JF wooooteHivi JF haina kabisa utaratibu wa kutoa zawadi kwa watu kama Numbisa?Make mambo wanayofanya ndo yanaifanya jf izidi kun'gara na kujizolea MB za kutosha.
Cheka na Numbisa kweli hakika inaniondolea stress hata vyuma kukaza uwa nasahau kwa muda.
Hongera sana dear hilo chimbo lako ni balaa
sivai mdudu