Ndoo za maji kweli jamani 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Awali wali beep kwa kutumia avatar hiyo nao mods bila hiana wakawarukia hewani kama hivyoKwahiyo umeamini kuwa hizo ni ban na siyo "avatar" kama munavyo dai?
Nimeelewa vizuri. Hapo wanapeana miadi ya ku do.cjaelewaaaaa
Maana yake na Huyo dada"mpenziwe" anashikilia rekodi pia,mbona yeye hatajwi?
Sijaelewa hapa,naomba ufafanuzi