Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 14,123
- 13,393
🌷👉UHARAMU WA KUMUINGILIA MKE KWENYE TUPU YA NYUMA (Sehemu ya haja kubwa).
Imepokewa kutoka kwa Abuu Hurayra Allah amridhie👉Mtume ﷺ amesema👇
”ملعون من أتی امرأة في دبرها.“
“Amelaaniwa yule mwenye kumuingilia mkewe kwenye tupu yake ya nyuma”. (Imamu Ahmad 2/479).
``Na imepokewa kutoka kwa mtume ﷺ amesema mwenye kumuingilia mwanamke kwenye tupu ya nyuma amekufuru katika yale aiyoteremshiwa Muhammad´´. Tirmidhiy 1/243
👉Baadhi ya watu wasiokua na tabia ya kawaida,dhaifu wa imani huwa hawajizuii na matamanio ya nafsi zao,hatimae huwaingilia wake zao katika tupu ya nyuma.Ifahamike kuwa kitendo hiki ni katika madhambi makubwa na kuwa mtu huyo katika laana.
👉Kuna baadhi ya watu wasiojielewa hutumia aya isemayo kuwa ``Wake zenu ni kama konde zenu (mashamba yenu) basi ziendeeni konde zenu mtakavyo.´´ baqaraa 223.Hutumia aya hii kama ni dalili ya kuruhusu jambo chafu na la haramu,kawaida ya sunna huifasiri qur-ani na kuiweka wazi,ndio maana imepokewa kutoka kwa mtume ﷺ akieleza kwamba inajuzu kumuingilia mwanamke kwa staili yeyote aipendayo mtu.Ila lengo iwe ni kuipata tupu ya mbele.
Hivyo waislamu ijulikane kuwa kuna madhara yanayopatikana kwa mume na mke ambao wanashiriki tendo hilo,hupelekea kwa mume kuja kupata magonjwa ambayo yatamsababishia kuishi na mpira kama kisaidizi katika sehemu yake ya siri na kwa mke vile vile kutanuka kwa tissue za sehemu za siri za nyuma na kupelekea shida wakati wa kujifungua na hata kupelekea kufa wakati wa kujifungua.
Tuna muomba Allah atupe salama na kuweza kuyaacha hayo.
Imepokewa kutoka kwa Abuu Hurayra Allah amridhie👉Mtume ﷺ amesema👇
”ملعون من أتی امرأة في دبرها.“
“Amelaaniwa yule mwenye kumuingilia mkewe kwenye tupu yake ya nyuma”. (Imamu Ahmad 2/479).
``Na imepokewa kutoka kwa mtume ﷺ amesema mwenye kumuingilia mwanamke kwenye tupu ya nyuma amekufuru katika yale aiyoteremshiwa Muhammad´´. Tirmidhiy 1/243
👉Baadhi ya watu wasiokua na tabia ya kawaida,dhaifu wa imani huwa hawajizuii na matamanio ya nafsi zao,hatimae huwaingilia wake zao katika tupu ya nyuma.Ifahamike kuwa kitendo hiki ni katika madhambi makubwa na kuwa mtu huyo katika laana.
👉Kuna baadhi ya watu wasiojielewa hutumia aya isemayo kuwa ``Wake zenu ni kama konde zenu (mashamba yenu) basi ziendeeni konde zenu mtakavyo.´´ baqaraa 223.Hutumia aya hii kama ni dalili ya kuruhusu jambo chafu na la haramu,kawaida ya sunna huifasiri qur-ani na kuiweka wazi,ndio maana imepokewa kutoka kwa mtume ﷺ akieleza kwamba inajuzu kumuingilia mwanamke kwa staili yeyote aipendayo mtu.Ila lengo iwe ni kuipata tupu ya mbele.
Hivyo waislamu ijulikane kuwa kuna madhara yanayopatikana kwa mume na mke ambao wanashiriki tendo hilo,hupelekea kwa mume kuja kupata magonjwa ambayo yatamsababishia kuishi na mpira kama kisaidizi katika sehemu yake ya siri na kwa mke vile vile kutanuka kwa tissue za sehemu za siri za nyuma na kupelekea shida wakati wa kujifungua na hata kupelekea kufa wakati wa kujifungua.
Tuna muomba Allah atupe salama na kuweza kuyaacha hayo.


UHARAMU WA KUMUINGILIA MKE KWENYE TUPU YA NYUMA (Sehemu ya haja kubwa).








