sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,645
- 8,735
Kwahiyo huyu ndio umeona anafanyakazi kwenye mazingira magumu! Vipi wale wachoraji tattoo kwenye maeneo nyeti?







. Hapa hakuna baharia hapa. Labda ni mwanaume wa Dar...Kabisa mkuu, hii ndio ile week hata ukishika mkaa wa moto hausikii kama unaungua. Hapa hakuna baharia hapa. Labda ni mwanaume wa Dar...

I see. Halafu sijui walikuwa na kipaji gani cha kusotea ukutani