SAUT?Mnakumbuka?
View attachment 1639476
Tabia mbaya tu😔Mpaka nimezuumu. Kitu kimeumuka ka mkate wa boflo....
View attachment 1637650
Ma legendary mmeshaelewa!
Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app


,,Daah...kuna warembo walikuwa piga ua huwafungi..Hii mbinu nimeikubali sana.
Nsia Swai toto ya SAUTMnakumbuka?
View attachment 1639476
Nakuona mkuu umekuja kuokoa jahazi!mtoto wa Bombambili Songea huyo Amber hawezi msogelea hata robo asilani
naye alienda lupango sijui kesi yake iliishaje tafuta kwenye video za kimataifa amevuma sana, hapa sio pake















Mkuu, naona unachezea chakula cha heshima eehhh...😎😎
nilikuwa napita juu kwa juu nikaona wanakuonea
Sina mkuu, tangu kufungwe kule nipo nahangaika tu kama wale mbuzi wanilikuwa napita juu kwa juu nikaona wanakuonea
hebu nipe matoleo mapya km unayo maana wametufukuza

dampo.