Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Mkuu embu tafuta unitumie
Hahaha....mbwa kakosea sanaHalafu sasa hii imtokee mbele ya wageni wa heshima au siku ya kusanyiko la watu wa kanisani mf. Wanakwaya wenzake. Aibu yake sipati picha na kama ni Wasabato au Walokole wa kihafidhina anafutwa na membership ya kanisa kabisa![]()

Utani wa ngumi huuIlijengwa dodoma kwa sababu akina ndugai wanapatikana huko

Huyu ni mmoja wa wale walimu walioajiriwa juziHahahaaaaa
