
😂😂😂😂 Biashara ishawashinda, soln ni kuweka t..pesa ya akiba tu ukiamua kuwa na huo mtandao
mzee huwa History inampiga chenga sana,amewahi hadi kutamka hadharani kwamba Saddam Hussein alikuwa Rais wa Kuwait
Huyu nabii nafanya mukutano mwingne liniView attachment 1611502
Rashid amenishinda tabia. Anaweza kuwa ananusa Unaibu au uwaziri huyu jamaa.


