Huyu alishaga vimbiwa siku nyingi toka apate ubunge kwa hisani ya ugomvi wa Lowasa na Selelii imekuwa shida na JK akamuokoa kwa kuigawa Nzega maana alijua huyu mtoto wa mama kwa Bashe hatoboi.Sasa kaishiwa ameanza siasa za vijiweni mpaka 2020atakuwa anafanya siasa za makalioni maana hana jipya.Halafu ndio awe rais wetu!?Dah wabongo...!!!ujinga wetu ndio mauti yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.