Nakumbuka mtihani wa la saba unaanzaga kama masikhara hivi!
1.19+87=
2.219-45=
3.12x34=
4.59÷7=
5.3 ⅝+7 ⅝=
6.________
Halafu huko mbele sasa kuanzia swali la 27 hivi, utajutaa:
*Ndege inatoka Dar saa tatu kwenda Chato. Land cruiser VX linatoka Chato saa nne kwenda Dar. Ikiwa spidi ya ndege ni 350km/saa na ya Landcruiser VX ni km220/Saa, Na umbali wa Chato-Dar ni KM 900, zitakutana saa ngapi??*
Sasa mimi nitajuaje??


Na hizi tochi zote barabarani na matuta, kuchimba dawa, kunywa chai ?!?(Traffic jam) foleni, kununua viazi Gairo

???
Mtihani mwema wanangu wa darasa la saba. Mungu awasaidie sana!
Sent using
Jamii Forums mobile app