Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

.
IMG-20201008-WA0040.jpg
 
Nakumbuka mtihani wa la saba unaanzaga kama masikhara hivi!

1.19+87=
2.219-45=
3.12x34=
4.59÷7=
5.3 ⅝+7 ⅝=
6.________

Halafu huko mbele sasa kuanzia swali la 27 hivi, utajutaa:

*Ndege inatoka Dar saa tatu kwenda Chato. Land cruiser VX linatoka Chato saa nne kwenda Dar. Ikiwa spidi ya ndege ni 350km/saa na ya Landcruiser VX ni km220/Saa, Na umbali wa Chato-Dar ni KM 900, zitakutana saa ngapi??*

Sasa mimi nitajuaje??
[emoji1493][emoji1493]
Na hizi tochi zote barabarani na matuta, kuchimba dawa, kunywa chai ?!?(Traffic jam) foleni, kununua viazi Gairo[emoji57]???

Mtihani mwema wanangu wa darasa la saba. Mungu awasaidie sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom