Nimechekaaa mlongoo, juzi kuna sehemu tumekaa sasa nikawa naongea na cm, si yakaanza kunitokaaa mineno.
ππππ,nacheka,,,nakusemea mineno ya coca hiiπ€£Nimechekaaa mlongoo, juzi kuna sehemu tumekaa sasa nikawa naongea na cm, si yakaanza kunitokaaa mineno.
Waja waliokaa hapo hoi, wanauliza hayo maneno unayatoa wapii? πππ
M1 kadakiaa, yaan huyu akiwa anakusema inabidi utulie ushike maneno anayokupa, nawee ukampe mwingine atakae kuchokoza.
Nilichekaa, πππ