Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20250704-032840_Facebook.png
 
Nitakuja kutembelea nione kilichokufanya upotelee huko

Aahahahhaaa have fun there...😜.

Ni uraibu tuu wa kujipikilisha na kunakili vingi nilivyokuwa nakula na kushiriki na jamii ya uzi wa vyakula.

Kitambo nilikuwa mraibu wa mada zote mbili vyakula na vituko, ila vyakula ikanishika hatamu.

Sasa kwa wito wako, napumzika vyakula naweka kambi hapa....

Kule ntapotea kama miezi hivii ama mwaka 😁.
 
Back
Top Bottom