#TAARIFA_KWA_MASHABIKI_WA_TIMU_YA_TAIFA_YA_MUUNGANO yaani _Yanga_fc
Habari kutoka vyanzo vya kuaminika zinasema kuwa endapo Yanga watatoboa kule Pemba – ndio, mechi ya kufuzu fainali ya #Kombe_la_Muungano – basi mashabiki wamepanga kuandaa mapokezi makubwa
Kuanzia Bandarini hadi Jangwani kwa baiskeli, punda na hata mikokoteni
Wamesema: “Simba walipokea mashujaa wa CAF, na sisi tutapokea mashujaa wa Pemba
Kutakuwa na mabango yameandikwa:
"Tumefuzu Hatimaye tupo fainali ya Kombe ambalo lina thamani ya laki 5
Kwa sisi mashabiki wa Simba, tumeshaweka kiti na soda kusubiri kuona msafara wa “Confederation ya Muungano”.
Karibu kwenye hatua ya kutamani mafanikio ya wengine ni hatua ya kwanza kuelekea kujijua
#simbanguvumoja
#yangawamchangani
#simbasctanzania