Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_5753.jpeg
 
Bahili mmoja alinunua mbuzi akamwambia mpishi

Bahili: Nyama nusu ipike pilau, na nyingine iweke kwenye friza, kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku, ngozi usitupe tutafanya mkeka, utumbo pikia ndizi, na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa ajili ya mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako ...??🤣🙄🤔
1743693276003.jpg
 
Back
Top Bottom