Once again nasema kama hujawahi kuwawa katika this scenario u havent lived my friend 😜
Hizi ndio raha za dunia
Once again nasema kama hujawahi kuwawa katika this scenario u havent lived my friend 😜
🤣🤣🤣 Mbona kama jamaa hayuko happy
Kuna nnintena....prezda ndio mke wake huyo?
Jamani yaani mzabzab ndio nitakuwa hivi come 2027ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜UKIMWI orijino wa miaka ya 80 na 90. Kuna wasiwasi kuwa unaweza kurudi tena kama ARVs zitakosekana.
View attachment 3288634
Kwa kweli tumechoka maana tumeambiwa turudi veta tena...bora turudi mbinguni kwa baba
Zote mbili! Lete roba zako nikuoneshe! Chagua suruali kali na shati kali vya size yako, muage, sepa.
Mjini shuleKweli ajira hakuna duniani
Yaani kuku jamani tena nchi yenyewe wote wanamjua kasuku 😄 View attachment 3288685