Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Unanyimwaje namba na demu bwana huo ni umama
Once again nasema kama hujawahi kuwawa katika this scenario u havent lived my friend 😜
🤣🤣🤣 Mbona kama jamaa hayuko happy
Kuna nnintena....prezda ndio mke wake huyo?
Jamani yaani mzabzab ndio nitakuwa hivi come 2027😭😭😭😭UKIMWI orijino wa miaka ya 80 na 90. Kuna wasiwasi kuwa unaweza kurudi tena kama ARVs zitakosekana.
View attachment 3288634
Kwa kweli tumechoka maana tumeambiwa turudi veta tena...bora turudi mbinguni kwa baba