Hao ndio nawapenda sasa....nipe assist nikafunge kama rodrigo wa madrid janaMnyamwezi huyo, utawezana naye..???!😅😅😅
Hawanaga mapumziko hao kikilia kipenga ni hadi half time na hakuna kuomba maji eeheheheheee 😂😂😂😂.
Hana mambo mengi, utulize mpira tuu chenga kiasi, danadana kwa mbali, achia mashuti ya kutosha baada ya miezi tisa utakuwa na pacha 4 😅😅😅. Jiandae dakika 90 na za nyongeza, penalti huwa haifiki hawanaga ushindani....🤸🤸🤸🏃🏃🏃🏃.
Nawe ume admire nyashhh 🤣🤣🤣🤣