Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

20241124_225329.jpg
 
Staa wa soka kutoka pwani ya kenya Lucy Kweke ameingia kwenye vitabu vya kihistoria kuwa mwanasoka mchanga kujengewa sanamu kama njia ya kumheshimu.

Sanamu hilo ambalo limejengwa katika uga wa M-Pesa Foundation Stadium, liliwekwa na shule yake ya zamani.
FB_IMG_1732518737129.jpg
 
Back
Top Bottom