Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,379
Nani aliyewahi kutumia hizi noti zinazoondolewa katika mzunguko? 😲
Shangaa na wewe
Lini? Wapi?Hii picha umeniibia mkuu i was the 1st to post it
Nimeipost humu nadhani sep au aug sikumbuki fresh ila hamna shidaLini? Wapi?
Sikuwahi kuiona!
Ukiweka na KOTAPINI hapo watasema ni risasi
Mungu wangu.... sijui kafanya kosa gani kubwa hivo....uwiiiiii!!!!