Vituko mitandaoni. Tupia chako


Kwa mioyo kama hii ya vijana wetu, ufisadi utakaa uishe kweli? 😳

 
Mkuu hii video sikuiona niliona ina trend twitter nikaipuuzia sema duuh kataa ndoa tunazidi kuchukua point 3
Prison guard aliliwa kwa hiari kabisa. Tena na wafungwa wawili. Kumbe ni mke wa mtu. Na wana katoto kachanga!

Wanasema kuwa pengine alifanya makusudi ili aachane na mumewe maana alijua kuwa ndani ya gereza kuna kamera 24/7!
 
Kwa wapenzi wa ndondi. Huyu kifutu cheupe unamtambua? Alikuwa bondia mmoja machachari sana enzi zake mpaka alipokutana na Mexican worrior mmoja wa kuitwa Marco Antonio Barrera akapigwa kweli kweli mpaka akaamua kuachana na Boxing. Yuko kwenye Boxing Hall of Fame!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…