Jamaa akishaliget utashangaa watu wataanza kuhangaika kumtafuta wakisikia kapotea wakati amelifind mwenyew
Mkuu hulali?
Wewe ulisikia wapi,eeh ulisikia wapi?
Mkono mtupu haulambwi
Ana undugu na Lemutuz?
Hii wajumbe wamemtengenezea shoti tu siyo yeye.