Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,209
- 89,000
Chanzo ni socket ya umeme?
Mke wa Ruto aache mitego kwa wakenya😎
Kondomu. Tena zile za bei mbaya kabisa!
Hili halikwepeki.
Hili halikwepeki.
Dunia nzima iko hivyo.
Mfugaji atarithisha mifugo, mkulima halikadhalika, mganga arithisha uganga.
Kila mwana jamii huona fahali kurithisha kazi yake.
Ula wanasiasa husemwa vibaya
Oyaaa.. nishasahu aya masomo..