Super Dupa Yutongs all the way 😁

View attachment 2995484
Bro mzigo huu hapa , mbele na nyuma asifiwe Mungu.
6edc02d5138ab32ceedeb289d8900ecf.jpg
 
Hannah. Kuna picha yako uliwahi kuweka Selfika ukasema eti ngoja ugeuke ili tuone "tabia". Niliisevu mahali lakini nimeitafuta sijaipata. Bahati yako "tabia nzuri" unayo tena sana tu.

Ukweli daima utabakia kwamba mwanamke ni tako bana maana sura hata mbuzi anayo (japo hakuna mwanaume aliyewahi kuoa mbuzi!)😁😁😁

Screenshot_20231021_132007_Instagram Lite.jpg


➡️➡️➡️ Juzi hapa stendi ya Misungwi mjini alipita binti amefungasha nyuma hatari lakini sura yake dah! Majamaa wakaanza kusema huyu aisee na ubaya wake wa sura mi naoa hata leo huyu. Niliwaunga mkono kwa asilimia zote maana si kwa kiuno kile cha nyigu na mkia ule dadeki!
Japo yanavutia kwa mwenye nayo lakini sioni umuhimu wake kuliko sura
Mkuu kuwa siriazi hata kidogo basi kha!

 
Back
Top Bottom