Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Waha! ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

Screenshot_20231226_121617_Instagram Lite.jpg
 
Sikuwa na uthubutu huo, kuangalia kwenyewe nilikuwa napiga chabo ili asijue kama namkodolea macho.
Lakini kumbuka post yako kule juu ulisema alikuwa anavaa nguo zake taratibu ili kulingishia matiti yake kwenu.
Kwakweli ningekuwa mimi angekoma.
Ningeenda karibu yake nishangae manyonyo๐Ÿคฃ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ.
Vitu vizuri lazima uvikazie macho
 
Waha! ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

View attachment 2992696
Waha wa Kasulu, Kibondo, Buhigwe, Kakonko mpaka Uvinza.
Hawashikiki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ
 
Lakini kumbuka post yako kule juu ulisema alikuwa anavaa nguo zake taratibu ili kulingishia matiti yake kwenu.
Kwakweli ningekuwa mimi angekoma.
Ningeenda karibu yake nishangae manyonyo๐Ÿคฃ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ.
Vitu vizuri lazima uvikazie macho

Aahahahahhaaaa looh ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Wewe ungeweza fanya hivyo sababu u jinsia ya kiume.

Mimi ni jinsia ya kike, sikuweza fanya hivyo nilikuwa niliishia kupiga chabo tuu...๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Aahahahahhaaaa looh ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Wewe ungeweza fanya hivyo sababu u jinsia ya kiume.

Mimi ni jinsia ya kike, sikuweza fanya hivyo nilikuwa niliishia kupiga chabo tuu...๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Ila daa, unaanzaje kushangaa maubile ya mtu wa jinsia yako mkuu?
 
Ila daa, unaanzaje kushangaa maubile ya mtu wa jinsia yako mkuu?

Kwani kushangaa kuna jinsia...!!!

Akili huwa inaona kawaida ikiwa mwanamama wa makamo miaka 50+ matiti yake yamedondoka na chuchu kuelekea chini, awe amezaa watoto ama hajazaa. Akili ikiona mwanamama miaka 50+ nyonyo imeanguka kiasi ila chuchu zimeelekea kwa juu hiyo si kawaida na hapo ndo kushangaa huja.

Wanawake tuna asili ya kukagua ndomaana tunanakili nywele zake kaweka ranhi gani, anapaka make up aina gani, nguo yake kashona kwa fundi gani au kanunua dizaina yupi au ameagiza kutoka nje....!

Sijui nimejibu swali au nimejielezea jinsi nilivyokuwa nashangaa....

Well kabila labgu asili yake pia kushangaa shangaa, hatupishani sana na like kabila la washamba nambari uno Tanzania aka Wapush Baby wa Mwanza Bay...๐Ÿ˜…

Wakitokea hapa kunipiga mawe natoka ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ.
 
Kwani kushangaa kuna jinsia...!!!

Akili huwa inaona kawaida ikiwa mwanamama wa makamo miaka 50+ matiti yake yamedondoka na chuchu kuelekea chini, awe amezaa watoto ama hajazaa. Akili ikiona mwanamama miaka 50+ nyonyo imeanguka kiasi ila chuchu zimeelekea kwa juu hiyo si kawaida na hapo ndo kushangaa huja.

Wanawake tuna asili ya kukagua ndomaana tunanakili nywele zake kaweka ranhi gani, anapaka make up aina gani, nguo yake kashona kwa fundi gani au kanunua dizaina yupi au ameagiza kutoka nje....!

Sijui nimejibu swali au nimejielezea jinsi nilivyokuwa nashangaa....

Well kabila labgu asili yake pia kushangaa shangaa, hatupishani sana na like kabila la washamba nambari uno Tanzania aka Wapush Baby wa Mwanza Bay...๐Ÿ˜…

Wakitokea hapa kunipiga mawe natoka ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ.
Mkuu bado unakutana naye Gym, natamani nije nipate huduma mahali hapo kama ni mji huu ninaoishi ndipo mlipo.
Kama nje ya Tz basi.
 
Kwani kushangaa kuna jinsia...!!!

Akili huwa inaona kawaida ikiwa mwanamama wa makamo miaka 50+ matiti yake yamedondoka na chuchu kuelekea chini, awe amezaa watoto ama hajazaa. Akili ikiona mwanamama miaka 50+ nyonyo imeanguka kiasi ila chuchu zimeelekea kwa juu hiyo si kawaida na hapo ndo kushangaa huja.

Wanawake tuna asili ya kukagua ndomaana tunanakili nywele zake kaweka ranhi gani, anapaka make up aina gani, nguo yake kashona kwa fundi gani au kanunua dizaina yupi au ameagiza kutoka nje....!

Sijui nimejibu swali au nimejielezea jinsi nilivyokuwa nashangaa....

Well kabila labgu asili yake pia kushangaa shangaa, hatupishani sana na like kabila la washamba nambari uno Tanzania aka Wapush Baby wa Mwanza Bay...๐Ÿ˜…

Wakitokea hapa kunipiga mawe natoka ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ.
Wakija kukupopoa nitakutetea๐Ÿคฃ๐Ÿ’ช
 
Mkuu bado unakutana naye Gym, natamani nije nipate huduma mahali hapo kama ni mji huu ninaoishi ndipo mlipo.
Kama nje ya Tz basi.

Hiyo ilikuwa miaka 20 iliyopita.

Niliacha kwenda gym baada ya mazoezi ya kitandani kunilemea....๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Back
Top Bottom