Wa kwanza kushoto. Idrissa Abdul Wakil (Rais wa Zanzibar, Makamo wa pili wa rais serikali JM Tanzania ).
Ali Hassan Mwinyi ( Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania).
Mwalimu Nyerere ( Mwenyekiti wa CCM).
Dr Salim Ahmed Salim ( Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi ).
Joseph Warioba ( Waziri Mkuu na Makamo wa Kwanza wa Rais) wawili wengine sijawatambua kwakuwa hawaonekani vizuri.
Hii ni baada ya 1985 na kabla ya 1990
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.