Mamelodi watapigwa kama ngoma
Safi kabisa naona huyu anajitambua
Ngoja nikusaidie kumuita Mideko. Na namuita tena Shimba ya Buyenzemideko rudi tafadhali wewe ndie unaugua ama unauguza pole sana.
Roho mbaya tuuWatoto wapambanie maisha yao,
Waachane na tabia ya kutegemea mali ya baba.
Safi sana Legend Shaquille O'neal View attachment 2938870
Pesa tamu ila duh hapana yaani wazazi waone jinsi navyo lamba mavi. Hapana wacha wakae na hiyo pesa yao