Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mumeo asingekuwa kiongozi ungelipwa na nani hyo hela?nani amekwambia kuishi na kiongozi ni kazi inayotakiwa kulipwa?mumeo si ana mshahara anashindwa kukulipa?
Anamchongea mumewe Kikwete kuwa msimuone hivyo Hela nyumbani haniachii huyo Wala kunitunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…