The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,136
- 8,005
Yaani kungekuwa na option ya kutoa likes 100 ningetoa kwa hii picha aisee!Halafu ukikua.... umegraduate... umeajiriwa... unaoa... Mkeo anakuambia "Mamako Mchawi!" Nakuhakikishia wewe ndio Mchawi!View attachment 1502785
Hii nakubaliana nayo,wanawake wanachagua mno,anaweza kuchagua hapa akaacha,akaenda mbele akakipata anachokitaka bei ikiwa juu kidogo anaacha anakwambia turudi kule mwanzo Dah!
