Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hamna kitu humo.
Wengi wao weupeee
Na bestfurend mmoja yuko Mwanza.

Tulisoma wote hakua na swagga za kua sista sijui n maisha...katika pitapita tukakutana A- town unajua muda mrefu hamjaona kuchangamkiana kwa sanaa mi nikamueleza yangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚yy hakusthubutu kuniambia ukweli wake.

Mavazi yanaonyesha ila kama sio muumini hauwezi kujua maana n sketi refu + kitambaa kichwani....

Wanatunguliwa vibaya mno πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…