"Nimepokea tuhuma za Dulla Makabila kwamba hanikubali tena kisa nilienda kwenye shughuli ya Hajji Manara, lakini mimi sina kosa ile ni kazi yangu kama zilivyo kazi zake za kimziki. Mimi nimwambie tu Dulla Makabila kwamba amove on, aache kuumia kisa Zaiylissa akubali kwamba yale ni maisha yalikuja na yakapita, kwani ana ma EX wangapi? ni nani asiye na ex? akiendelea hivyo atakosana na watu wengi bila sababu za msingi"
"Hicho kitendo anachotaka kukifanya cha kuwa kwenye mahusiano na Rushaynah akidhani atamkomoa Hajji Manara ndio atajipa stress mara mbili na hawatadumu kwasababu hawapendani wanataka kulipiza kisasi, atulie afanye kazi atapata mwanamke mwingine mzuri, haya mambo ya kujifanya anajua kupenda hayana mwisho mzuri"- MC Garab
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.