Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1706572351444.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Nimepokea tuhuma za Dulla Makabila kwamba hanikubali tena kisa nilienda kwenye shughuli ya Hajji Manara, lakini mimi sina kosa ile ni kazi yangu kama zilivyo kazi zake za kimziki. Mimi nimwambie tu Dulla Makabila kwamba amove on, aache kuumia kisa Zaiylissa akubali kwamba yale ni maisha yalikuja na yakapita, kwani ana ma EX wangapi? ni nani asiye na ex? akiendelea hivyo atakosana na watu wengi bila sababu za msingi"

"Hicho kitendo anachotaka kukifanya cha kuwa kwenye mahusiano na Rushaynah akidhani atamkomoa Hajji Manara ndio atajipa stress mara mbili na hawatadumu kwasababu hawapendani wanataka kulipiza kisasi, atulie afanye kazi atapata mwanamke mwingine mzuri, haya mambo ya kujifanya anajua kupenda hayana mwisho mzuri"- MC Garab
FB_IMG_1706573547412.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom