Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Usijali mume wangu nitakutunzia.... wewe tu
View attachment 2883892
Hahahahaha.
Huwezi wewe.
Uwezo wa kutunza siri hamna nyie
IMG_1596795089402.jpg
 
Aisee sikumbuki. Akina nani hao? Najua Mkapa alikuwa na bifu na Jenerali Ulimwengu ila sina uhakika kama sekeseke la uhalali wa uraia wake lilikuwa kipindi cha Mkapa, J.K au Magufuli.

Ila inavyoonekana wapo wengi tu!

View attachment 2883979
Jenerali Ulimwengu na Mkapa walikuwa marafiki tangu wakiwa Daily News.
Inadaiwa baada ya Mkapa kupanda cheo (urais)Jenerali alianza kumchapa kupitia magazeti yake.
Mkapa naye akaona isiwe tabu, akakinukisha.
Wakati huo Ulimwengu alikuwa mjumbe NEC akaunganishwa na wenzake akina Dr Maudline Castico, Anatoly Amani na wengine wawili nimewasahau.
Lakini wote walikuwa wajumbe wa vikao mbalimbali vya CCM.
Baadaye wakaambiwa waombe tena ili kujihalalishia uraia wao.
Waliomba.
Naona mama Castico bado yupo CCM anapiga kazi
 
Back
Top Bottom