Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Hali ni mbaya.Soko gani ni safi hapa Bongo? Si tumeshaamua kuishi kama wanyama tu?
View attachment 2877982View attachment 2877983View attachment 2877984View attachment 2877985
Haijaisha mpaka iishe...
Yaonyesha watu wa nchi yake hawana matatizo ya huduma za afya, miundombinu, elimu nk.