Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

7f50266141b3caecd0c3bc7d15fcaad7.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jina lake halisi Cheick Ahmed Al-Hassan Sanou, (31) Maarufu zaidi kama Iron Biby, (@ironbiby) ni bingwa wa dunia wa kubeba chuma, amebeba kilo 230.

Iron Biby, Raia wa Nchini Burkina Faso, alizaliwa akiwa na uzito wa kilo 5 katika mji wa Bobo-Dioulasso, nchini humo.

"Mama yangu alisema nilikuwa na mwili mkubwa tangu nilipozaliwa. Nilizaliwa na uzito wa karibu kilo 5 na kupumua sana," Biby aliambia BBC.

Iron Biby anashikilia rekodi muhimu zaidi duniani zinazohusisha na kuinua uzito zinazomfanya mnyanyuaji bora zaidi katika historia.

Ufanisi huo umemfanya Iron Biby kutunukiwa heshima na kiongozi wa nchini humo Kapteni Ibrahim Traore kwa kuiletea nchi hiyo sifa.

#Swipe [emoji117]Tazama Iron Biby akipata mlo wake..

#CloudsDigitalUpdates
FB_IMG_1704646970117.jpg
FB_IMG_1704646973053.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom